Jumapili, 12 Mei 2013

Bwana YESU asifiwe, Mbarikiwe na BWANA.
Naomba niitambulishe huduma hii kwenu, MUNGU amekuwa akitutumia katika viwango vikubwa sana. wagonjwa wamekuwa wakipona, waliofungwa na nguvu za giza wamekuwa wakiwekwa huru, na watu wamekuwa wakishudia matendo makuu ya MUNGU kutokana na huduma hii.
Unakaribishwa wewe, mwambie na mwingine kwenye muujiza wako.

MAWASILIANO
PIGA NAMBA +255 759893359  au +255 787410346
P.O.BOX 1466 MBEYA-TANZANIA

Nawakaribisha kutembelea ukurasa huu mara kwa mara kwaajiri ya kujifunza zaidi neno la MUNGU,
*****************************MUBARIKIWE************************

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni