BWANA WETU YESU ASIFIWE
SOMO LA LEO: Kuwa kiungo katika mwili wa christo yesu
ukristo sio dini bali usiano na bwana wetu yesu. kwa yesu wetu hakuna
dini. na watu hawaendi mbinguni kwa tiketi ya madhehe yao, hutaingia
mbinguni kwa upentecoste au uassembles wako.
Ndugu
yangu. kuwa na majina makubwa ya madhehebu hakukusaidii kitu. Bali
kinacho saidia ni ushirika wako na bwana wetu yesu. neno la BWANA
linasema hivi katika kitabu cha WAEESO5;29-30 maana hakuna mtu
anayeuchukia mwili wake po pote; bali huulisha na kuutunza, kama kristo
naye anavyolitendea kanisa.sio dhehebu wala dini.
kwa
kuwa tu viungo vya mwili wake. yani kristo. kwanini leo kuna kutengana
baina ya madhehebu, sote tu viungo vya mwili wake yesu,mbinguni
tutaingia kwa utakatifu tu wala sii vinginevyo bwana akusaidie uponyeke
imani yako
kumbuka kuwa sehemu ya mwili kuna faida tano
1. KUPENDWA hakuna mtu alie wai kuchukia kiungo cha mwili wake mwenyewe .unapendwa na yesu kwa sababu uu kiungo cha mwili wake
2.KULINDWA hakuna mtu asie linda viungo vyo mwili wake. kristo naye utulinda
3.KUWEZESHWA hakuna asie viwezesha viungo vya mwili wake, una wezeshwa na yesu kwasababu uu sehemu ya mwili wake yani kanisa
4.KULISHWA. unalishwa na yesu kwasababu wewe ni sehemu ya nwili wake (kanisa)
5.KUJALIWA. hakuna asie ujali mwili wake bali uulisha na kuutunza kama yesu anavyo litendea kanisa lake hapa Duniani
UBARIKIWE NA BWANA
Jumapili, 12 Mei 2013
HALELUYA MWANA WA MUNGU
SOMO LA LEO: usemi wa mwanadamu.
usemi wa mwanadamu ni uwezo wa mwanadamu wenye nguvu zaidi. kwa sababu kwa manenoyake anaweza kuleta manufaa makubwa. lakini pia anaweza kuleta hasara kubwa katika neno la MUNGU bibilia inasema katika (MITHALI 12:18) kuna anenaye bila kufikili, kama kuchoma kwa upanga bali ulimi wa mwenye haki ni afya
Matatizo mengi uliyo nayo katika maisha yako, ndoa, biashala,kazini, shambani, na katika jamii anayo kuzunguka. yanasababishwa na matumizi mabaya ya usemi wako unawakwaza watu kwa usemi wako,
(MITHALI 10;19) katika wingi wa maneno hapakosi kuwa na maovu baliu yeye azuiaye midomo yake hufanya akili, tunza mdomo wako kwa usalama wako mwenyewe, Wasifu wa mtu sio mavazi tu bali hutemea maneno ya kinywa chako mwenyewe
Mpumbavu na mwenye hekima wakinyamaza huwezi kuwatambua mpumbavu ni yupi na mwenye hekima ni yupi, utawatambua tu wakianza kujieleza ndipo atajulikana mpumbavu na mwenye hekima, jitaidi sana kufikili kabla haujasema usije ukaonekana mpumbavu machoni pa watu,
hiki ndicho kipimo cha utu wako na heshima yako mbele ya wanao kutazama, ni aibu kwa mtu mwenye utashi na ukwasi kutamka hadhalani maneno yasiyo faa mbele ya jamii
BWANA YESU AKUBALIKI
SOMO LA LEO: usemi wa mwanadamu.
usemi wa mwanadamu ni uwezo wa mwanadamu wenye nguvu zaidi. kwa sababu kwa manenoyake anaweza kuleta manufaa makubwa. lakini pia anaweza kuleta hasara kubwa katika neno la MUNGU bibilia inasema katika (MITHALI 12:18) kuna anenaye bila kufikili, kama kuchoma kwa upanga bali ulimi wa mwenye haki ni afya
Matatizo mengi uliyo nayo katika maisha yako, ndoa, biashala,kazini, shambani, na katika jamii anayo kuzunguka. yanasababishwa na matumizi mabaya ya usemi wako unawakwaza watu kwa usemi wako,
(MITHALI 10;19) katika wingi wa maneno hapakosi kuwa na maovu baliu yeye azuiaye midomo yake hufanya akili, tunza mdomo wako kwa usalama wako mwenyewe, Wasifu wa mtu sio mavazi tu bali hutemea maneno ya kinywa chako mwenyewe
Mpumbavu na mwenye hekima wakinyamaza huwezi kuwatambua mpumbavu ni yupi na mwenye hekima ni yupi, utawatambua tu wakianza kujieleza ndipo atajulikana mpumbavu na mwenye hekima, jitaidi sana kufikili kabla haujasema usije ukaonekana mpumbavu machoni pa watu,
hiki ndicho kipimo cha utu wako na heshima yako mbele ya wanao kutazama, ni aibu kwa mtu mwenye utashi na ukwasi kutamka hadhalani maneno yasiyo faa mbele ya jamii
BWANA YESU AKUBALIKI
NI WAKATI
WA KUMUABUDU BABA
Katika kitabu cha (YOHANA MTAKATIFU 4:23).
Neno linasema
kuwa, lakini saa inakuja nayo sasa ipo. Ambayo waabuduo halisi wata
mwabudu baba katika ROHO na kweli. kwamaana baba awatafuta watu kama hao
wamwabudu.
Waabuduo halisi niwale wanao mwabudu MUNGU BABA katika ROHO na
kweli, wapendwa kimefika kipindi cha kuacha utani na maswala ya ibada.
kwakua mwisho umekaribia sanaa. ibada yoyote inayo fanywa bila uwepo wa
ROHO MTAKATIFU ni ibada ya sanamu. Ibada ya namna hiyo hutaona uwepo wa
MUNGU bali ni maigizo katika ibada kwa sababu ya mapokeo ya wanadamu
katika
(1KORITHO3:10) Neno linasema kwa kadri ya nehema ya MUNGU niliopewa
mimi kama mkuu wa wajenzi mwenye hekima naliweka msingi na mtu mwingine
anajenga juu yake. lakini kila mtu na angalie jinsi anvyojenga juu
yake.
katika ibada unayo mpa MUNGU kila siku , angalia je unayafanya yalio
mapeznzi ya MUNGU? au nimatakwa ya wanadamu. kila mtu atatowa hesabu ya
ibada yake mbele za BWANA.
(1KORITHO3:11) neno linasema maana msingi mwingine hakuna mtu awezae
kuuweka. isipokuwa ni ule uliokwisha kuwekwa yani YESU KRISTO.nikwalike
unapo fanya ibada manisha kwamaana zamani hizi nizauovu .Watu
wanautukuza ushetani kuliko MUNGU,watu wanautukuza ufreemason,kuliko
YESU BWANA wanatukuza pepo kuliko RO
HO MTAKATIFU ,wanatukuza kuzimu kuliko mbinguni
(2KORITHO3:17)
basi BWANA ndiye ROHO walakini alipo ROHO WA BWANA hapondipo penye
uhuru mluhusu ROHO WA BWANA atawale maisha yako ili upate uhuru kamili.
Kamwehautautukuza ushetani maishani mwako
(2KORITHO3;16)
Lakini wakati wowote utakapo mgeukia BWANA ule utaji wa kutuza ushetani
utaondolewa. Upoutaji ulio kufunika.ndiyo maana unauona ushetani kuliko
MUNGU na wakati huwo unasahau kuwa MUNGU NI MKUU zidi ya shetani.
shetani sii kitu mbele zake.
Vipo vitu vingi vinavyoleta utaji katika maisha yako ya rohoni.
Unashindwa
kuona mbali 1. Inaweza ikawa ukoo wako.2 Dini za mababu na mapokeo ya
dini, 3, Rafiki zako,4, Ekimu yako,5, Utajiri wako 6, Ndoa yako nk hivyo
vyote vinaweza vikawa utaji katika maisha yako ukawa kipofu ,ukashidwa
kumuona MUNGU. ROHO WA MUNGU akusaidie ,macho yako yafunguke. ukamuone
MUNGU maishani mwako wala sio shetani.
Ndugu somo hili lina mapana sana kwaushauri zaidi wasiliana nami kwakutumia number hii +255 759 893 359 au +255 787 410 346
BWANA WETU YESU AKUBARIKI
Bwana YESU asifiwe, Mbarikiwe na BWANA.
Naomba niitambulishe huduma hii kwenu, MUNGU amekuwa akitutumia katika viwango vikubwa sana. wagonjwa wamekuwa wakipona, waliofungwa na nguvu za giza wamekuwa wakiwekwa huru, na watu wamekuwa wakishudia matendo makuu ya MUNGU kutokana na huduma hii.
Unakaribishwa wewe, mwambie na mwingine kwenye muujiza wako.
MAWASILIANO
PIGA NAMBA +255 759893359 au +255 787410346
P.O.BOX 1466 MBEYA-TANZANIA
Nawakaribisha kutembelea ukurasa huu mara kwa mara kwaajiri ya kujifunza zaidi neno la MUNGU,
*****************************MUBARIKIWE************************
Naomba niitambulishe huduma hii kwenu, MUNGU amekuwa akitutumia katika viwango vikubwa sana. wagonjwa wamekuwa wakipona, waliofungwa na nguvu za giza wamekuwa wakiwekwa huru, na watu wamekuwa wakishudia matendo makuu ya MUNGU kutokana na huduma hii.
Unakaribishwa wewe, mwambie na mwingine kwenye muujiza wako.
MAWASILIANO
PIGA NAMBA +255 759893359 au +255 787410346
P.O.BOX 1466 MBEYA-TANZANIA
Nawakaribisha kutembelea ukurasa huu mara kwa mara kwaajiri ya kujifunza zaidi neno la MUNGU,
*****************************MUBARIKIWE************************
KUJITANGAZIA UHURU
Kujitangazia uhuru kutoka katika utumwa wa kiroho, kuwatangazia nduguzako uhuru kutoka katika utumwa wa kiroho ni kazi inayohitaji kusimama kwako mwenyewe na kujitambua.
Ezekiel 37:3 BWANA MUNGU alimwambia Ezekieli "Mwanadamu, je mifupa hii yaweza kuishi?" Ezekiel akamjibu "BWANA MUNGU wajua wewe"
Ezekiel 37:4 akamwambia "Toa unabii juu ya mifupa hii uiambie enyi mifupa mikavu lisikie neno la BWANA"
Ezekiel 37:5 BWANA MUNGU aiambia mifupa hii maneno haya "Tazama nitatia pumzi ndani yenu nanyi mutaishi.
Kama BWANA MUNGU alivyomwambia Ezekieli, na wewe ni Ezekieli wa familia yako, biashara yako, mashamba yako, ndoto zako na nchi yako. Tabiri kwa yale unayotaka yatokee ondoa ukaufu, tabiri uzima.
Ondoa kushindwa, tabiri ushindi ndipo utayaona mafanikio makubwa.
Ezekiel 37:11 Kisha akamwambia Ezekieli "Mwanadamu, mifupa hii ni nyumba yote ya Israeli, tazama wao husema mifupa yetu imekauka, matumaini yetu yametupotea, tumekatiliwa mbali kabisa.
Ezekieli 37:12-13 BWANA MUNGU akamwambia ezekieli "Basi tabiri uwaambie BWANA MUNGU asema hivi, tazama nitafunua makaburi yenu na kuwapandisha kutoka katika makaburi yenu enyi watu wangu, nami nitawaingiza katika nchi yenu.
Kuna ushindi baada ya kuwekwa huru, kuna kutawala baada ya kuwekwa huru, kuna umiliki baada ya kuwekwa huru, kuna amani baada ya kuwekwa huru.
Chukua hatua leo ukajitangazie uhuru wako na ubarikiwe na BWANA kwa kujitangazia uhuru wako.
Kujitangazia uhuru kutoka katika utumwa wa kiroho, kuwatangazia nduguzako uhuru kutoka katika utumwa wa kiroho ni kazi inayohitaji kusimama kwako mwenyewe na kujitambua.
Ezekiel 37:3 BWANA MUNGU alimwambia Ezekieli "Mwanadamu, je mifupa hii yaweza kuishi?" Ezekiel akamjibu "BWANA MUNGU wajua wewe"
Ezekiel 37:4 akamwambia "Toa unabii juu ya mifupa hii uiambie enyi mifupa mikavu lisikie neno la BWANA"
Ezekiel 37:5 BWANA MUNGU aiambia mifupa hii maneno haya "Tazama nitatia pumzi ndani yenu nanyi mutaishi.
Kama BWANA MUNGU alivyomwambia Ezekieli, na wewe ni Ezekieli wa familia yako, biashara yako, mashamba yako, ndoto zako na nchi yako. Tabiri kwa yale unayotaka yatokee ondoa ukaufu, tabiri uzima.
Ondoa kushindwa, tabiri ushindi ndipo utayaona mafanikio makubwa.
Ezekiel 37:11 Kisha akamwambia Ezekieli "Mwanadamu, mifupa hii ni nyumba yote ya Israeli, tazama wao husema mifupa yetu imekauka, matumaini yetu yametupotea, tumekatiliwa mbali kabisa.
Ezekieli 37:12-13 BWANA MUNGU akamwambia ezekieli "Basi tabiri uwaambie BWANA MUNGU asema hivi, tazama nitafunua makaburi yenu na kuwapandisha kutoka katika makaburi yenu enyi watu wangu, nami nitawaingiza katika nchi yenu.
Kuna ushindi baada ya kuwekwa huru, kuna kutawala baada ya kuwekwa huru, kuna umiliki baada ya kuwekwa huru, kuna amani baada ya kuwekwa huru.
Chukua hatua leo ukajitangazie uhuru wako na ubarikiwe na BWANA kwa kujitangazia uhuru wako.
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)